1906
Mandhari
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ |
Karne ya 19 |
Karne ya 20
| Karne ya 21
◄ |
Miaka ya 1870 |
Miaka ya 1880 |
Miaka ya 1890 |
Miaka ya 1900
| Miaka ya 1910
| Miaka ya 1920
| Miaka ya 1930
| ►
◄◄ |
◄ |
1902 |
1903 |
1904 |
1905 |
1906
| 1907
| 1908
| 1909
| 1910
| ►
| ►►
Makala hii inahusu mwaka 1906 BK (Baada ya Kristo).
Matukio
[hariri | hariri chanzo]Waliozaliwa
[hariri | hariri chanzo]| Kalenda ya Gregori | 2026 MMXXVI |
| Kalenda ya Kiyahudi | 5786 – 5787 |
| Ab urbe condita (Roma ya Kale) | 2779 |
| Kalenda ya Ethiopia | 2018 – 2019 |
| Kalenda ya Kiarmenia | 1475 ԹՎ ՌՆՀԵ |
| Kalenda ya Kiislamu | 1448 – 1449 |
| Kalenda ya Kiajemi | 1404 – 1405 |
| Kalenda za Kihindu | |
| - Vikram Samvat | 2081 – 2082 |
| - Shaka Samvat | 1948 – 1949 |
| - Kali Yuga | 5127 – 5128 |
| Kalenda ya Kichina | 4722 – 4723 乙巳 – 丙午 |
- 4 Februari - Dietrich Bonhoeffer, mwanateolojia nchini Ujerumani
- 25 Februari - Mary Chase, mwandishi kutoka Marekani
- 31 Machi - Shinichiro Tomonaga, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1965
- 13 Aprili - Samuel Beckett, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1969
- 11 Juni - Nicolaas Louw, mwandishi wa Afrika Kusini
- 19 Juni - Ernst Boris Chain, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba, mwaka wa 1945
- 28 Juni - Maria Goeppert-Mayer, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1963
- 2 Julai - Hans Bethe, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1967
- 23 Julai - Vladimir Prelog, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1975
- 4 Septemba - Max Delbruck, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1969
- 6 Septemba - Luis Leloir, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1970
- 22 Oktoba - Sidney Kingsley, mwandishi kutoka Marekani
- 30 Oktoba - Archibald Jordan, mwandishi na mwanahistoria wa Afrika Kusini
- 12 Novemba - George Dillon, mshairi kutoka Marekani
- 18 Novemba - George Wald, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1967
- 10 Desemba - Ferdinand Alquié, mwanafalsafa wa Ufaransa
- 25 Desemba - Ernst Ruska, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia, mwaka wa 1986
Waliofariki
[hariri | hariri chanzo]- 7 Desemba - Elie Ducommun, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani, mwaka wa 1902
