1995
Mandhari
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ |
Karne ya 19 |
Karne ya 20
| Karne ya 21
◄ |
Miaka ya 1960 |
Miaka ya 1970 |
Miaka ya 1980 |
Miaka ya 1990
| Miaka ya 2000
| Miaka ya 2010
◄◄ |
◄ |
1991 |
1992 |
1993 |
1994 |
1995
| 1996
| 1997
| 1998
| 1999
| ►
| ►►
Makala hii inahusu mwaka 1995 BK (Baada ya Kristo).
Matukio
[hariri | hariri chanzo]Waliozaliwa
[hariri | hariri chanzo]| Kalenda ya Gregori | 2026 MMXXVI |
| Kalenda ya Kiyahudi | 5786 – 5787 |
| Ab urbe condita (Roma ya Kale) | 2779 |
| Kalenda ya Ethiopia | 2018 – 2019 |
| Kalenda ya Kiarmenia | 1475 ԹՎ ՌՆՀԵ |
| Kalenda ya Kiislamu | 1448 – 1449 |
| Kalenda ya Kiajemi | 1404 – 1405 |
| Kalenda za Kihindu | |
| - Vikram Samvat | 2081 – 2082 |
| - Shaka Samvat | 1948 – 1949 |
| - Kali Yuga | 5127 – 5128 |
| Kalenda ya Kichina | 4722 – 4723 乙巳 – 丙午 |
- 5 Desemba - Anthony Martial, mchezaji wa mpira kutoka Ufaransa
- 14 Desemba - Herieth Paul, mwanamitindo kutoka Tanzania
Waliofariki
[hariri | hariri chanzo]- 1 Januari - Eugene Wigner, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1963
- 18 Januari - Adolf Butenandt, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia, mwaka wa 1939
- 2 Februari - Donald Pleasence, mwigizaji wa filamu kutoka Uingereza
- 6 Februari - James Merrill, mshairi kutoka Marekani
- 1 Machi - Georges Köhler, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba, mwaka wa 1984
- 8 Machi – Paul Horgan, mwandishi wa Marekani na mshindi wa Tuzo ya Pulitzer, mwaka wa 1955
- 14 Machi - William Fowler, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia, mwaka wa 1983
- 16 Machi - Albert Hackett, mwandishi kutoka Marekani
- 20 Machi - Sidney Kingsley, mwandishi kutoka Marekani
- 23 Machi - Marijani Rajab, mwanamuziki kutoka Tanzania
- 26 Machi - Eazy-E, mwanamuziki kutoka Marekani
- 2 Aprili - Hannes Alfven, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1970
- 14 Mei - Christian Anfinsen, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1972
- 25 Juni - Ernest Walton, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia, mwaka wa 1951
- 21 Agosti - Subrahmanyan Chandrasekhar, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia, mwaka wa 1983
- 16 Novemba - Charles Gordone, mwandishi kutoka Marekani
- 6 Desemba – James Reston, mwandishi wa Marekani na mshindi wa Tuzo ya Pulitzer, mwaka wa 1945
