Nenda kwa yaliyomo

Mbio ya Marathoni

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Image
Mchoro wa Luc-Olivier Merson unaomuonyesha Fidipide akitangaza ushindi wa Wagiriki na kufa hapohapo.

Mbio ya Marathoni ni mbio ya masafa marefu kuliko zote, ikichukua kilometa 42.195. Ndiyo kilele cha michezo ya Olimpiki.

Asili ya mchezo huo ni mbio ya urefu huohuo iliyopigwa na Fidipide mwaka 490 KK ili kuwatangazia wananchi wa Athens (Ugiriki) kwamba wamewashinda Waajemi katika mapigano ya Marathon.

Siku hizi wanariadha bora, hasa wa Kenya na Ethiopia, wanafaulu kukimbia umbali huo wote kwa saa 2 hivi. Sabastian Kimaru Sawe wa Kenya tarehe 26 Aprili 2026 alivunja rekodi ya dunia kwa kushinda Marathoni ya London akitumia 1.59'30 tu akiwa wa kwanza (akifuatwa mara na Yomif Kejelcha) kushuka chini ya saa 2 katika kukimbia hizo kilomita 42.195 [1][2]

  1. Poole, Harry (26 Aprili 2026). "Sawe smashes two-hour mark to 'move goalposts for marathon running'". BBC Sport. BBC. Iliwekwa mnamo 26 Aprili 2026.{{cite news}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
  2. "Sabastian Sawe becomes first person to break two-hour marathon mark in record-setting London Marathon win". RTE. 26 Aprili 2026.{{cite news}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
  • Hans-Joachim Gehrke, "From Athenian identity to European ethnicity: The cultural biography of the myth of Marathon," in Ton Derks, Nico Roymans (ed.), Ethnic Constructs in Antiquity: The Role of Power and Tradition (Amsterdam, Amsterdam University Press, 2009) (Amsterdam Archaeological Studies, 13), 85–100.
  • Hans W. Giessen: Mythos Marathon. Von Herodot über Bréal bis zur Gegenwart. (= Landauer Schriften zur Kommunikations- und Kulturwissenschaft. Band 17). Verlag Empirische Pädagogik, Landau 2010
  • Tom Derderian, Boston Marathon: History of the World's Premier Running Event, Human Kinetics, 1994, 1996
Image Makala hii kuhusu mambo ya michezo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu zaidi kuhusu Mbio ya Marathoni kama historia yake, uenezi au kanuni zake?
Labda unaona katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine habari zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.